
sisi sote ni kama nyote zitembeazo angani.Tuna majukumu kwenye ulimwengu huu kila nyakati,wakati mwingine kama mume na wakati mwingine kama mke,wakati mwingine kama waziri, au malkia.Tunatimiza majukumu hayo bila kujua na wakati mwingine tunajiuliza kama kwanini tupo na hali hizo za majukumu.kwa wale walio na nuru wanweza kutambua kuwa yote hayo ni atua ya kujifunza, kutimilisha mahitaji yetu na kujisogeza zaidi kwenye utimilifu.
Maisha jinsi yalivyo yana uhusiano wa namna tunavyojieleleza, busara ni uwezo tunao umiliki na Upendo ni uasili wetu, ambao hauwezi kufutika au kuharibiwa.
0 comments:
Post a Comment