Friday, September 3, 2010

KAMPENI ZAENDELEA

Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Dk. Willibrod Slaa akiwahutubia wakazi wa Babati Mjini mkoani Manyara katika mkutano wa kampeni jana.

0 comments:

Post a Comment